Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 6Mfano

Soma Biblia Kila Siku 6

SIKU 4 YA 30

Wakawazuia makutano kwa shida, wasiwatolee dhabihu (m.18). Paulo na Barnaba walihubiri Injili Listra (m.7). Mtu aliyekuwa kiwete tangu tumboni mwa mamaye akawasikiliza kwa imani. Mara Paulo akamponya akaanza kutembea (m.8-10). Mwujiza kama huu walikuwa hawajawahi kuona Listra, wakafikiri miungu yao, Zeu na Herme imewashukia. Wakataka kuwatolea dhabihu (m.11-13). Lakini wakawazuia wakisema: Sisi nasi tu wanadamu hali moja na ninyi; twawahubiri habari njema, ili mgeuke (m.15)! Je, wewe umegeuka? 

siku 3siku 5

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 6

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha