Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 6Mfano

Soma Biblia Kila Siku 6

SIKU 9 YA 30

Wanafunzi wa Yesu walipomwagiwa Roho Mtakatifu walisimama kwa ujasiri wakizungumza kwa lugha za kila aliyekuwepo. Watu waliendelea kuwasikiliza wakaelewa watu hao hawajalewa kwa mvinyo, bali ni unabii unaotimia mbele yao. Petro anawaonyesha mambo manne katika Neno la Mungu: 1) Kusudi la Mungu lilitimia walipomsulubisha Yesu. 2) Mungu amemfufua. 3) Kifo hakiwezi kumfunga Yesu tena, wala yule anayemwamini. 4) Roho Mtakatifu ni kwa ajili yao. Mioyo ya watu ilipoguswa, wengi wakatubu na kubatizwa.

siku 8siku 10

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 6

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha