Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Mei/2022Mfano

Soma Biblia Kila Siku Mei/2022

SIKU 4 YA 31

Mkakati wa Nathani ulikamilika alipomtaka mfalme athibitishie taifa ni nani atakayetawala baada yake, baada ya kuambiwa kuna uhaini katika ufalme wake. Mfalme alimthibitishia Bath-sheba juu ya ahadi alizotoa. Na hapo hapo alitoa maagizo juu ya jinsi ya kumsimika na kumweka Sulemani katika kiti cha kifalme. Watu wote katika ufalme walisherehekea tukio hilo. Wakati wa Mungu ukifika, hakuna mashaka juu ya ukamilifu wa kusudi lake. Sulemani akawa mfalme kwa baraka zote za baba yake.

siku 3siku 5

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Mei/2022

Soma Biblia Kila Siku Mei/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Mei pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa sik...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha