Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 09/2020Mfano

Soma Biblia Kila Siku 09/2020

SIKU 6 YA 30

Rais wa kwanza wa nchi ya Tanzania, hayati Mwalimu J. K. Nyerere alipowahamasisha watu kujiunga na madarasa ya kisomo cha watu wazima alikaza: "Wakati ni huu". Wakati ni jambo la muhimu sana katika hatua zote za maisha ya binadamu. Lakini wakati una mwisho. Kumbuka "Wakati ukuta". Hatari inayotukabili ni kuutumia wakati vibaya na kwa mambo yasiyofaa, na yasiyotupatia faida. Kwa hiyo zingatia wito wa 2 Kor 6:1-3, Msiipokee neema ya Mungu bure.(Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama,wakati uliokubalika ndiyo sasa; tazama siku ya wokovu ni sasa.)Tusiwe kwazo la namna yo yote katika jambo lo lote, ili utumishi wetu usilaumiwe.Wakati ni huu wa kumpokea, kumwamini na kumtegemea Yesu Kristo.

siku 5siku 7

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 09/2020

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karib...

More

Nos gustaría agradecer a Soma Biblia por brindar este plan. Para mayor información por favor visite: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha