Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 06/2020Mfano

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

SIKU 6 YA 30

Nasi tutaituliza mioyo yetu mbele zake, ikiwa mioyo yetu inatuhukumu, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote (m.19-20). Dhamiri yetu inatuhukumu tukijiangalia wenyewe. Hata hivyo Mungu alitupenda kiasi cha Yesu aliutoa uhai wake kwa ajili yetu aki chukua dhambi zetu. Upendo wake ni mkubwa kuliko mioyo yetu (hukumu ya dhamiri yetu). Yeye anafahamu kuamini kwetu na upendo wetu katika mioyo yetu, ingawa sisi ni wenye dhambi. Yeye atatuhakikisha kuhusu kusamehewa dhambi zetu. Amri yake ni kumwamini Yesu (m.23: Hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo).

siku 5siku 7

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 06/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 1 Yohana, Ayubu na Mathayo. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Kari...

More

Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha