Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Soma Biblia Kila Siku 02/20

SIKU 29 YA 29

Mungu amemwumba mwanadamu, kwa hiyo anamjua kabisa kimwili na hata kiroho. Hata kabla mtu hajazaliwa, Mungu anajua yatakavyokuwa mambo yote ya maisha yake. Kwa hiyo hata mtoto tumboni mwa mama yake ni mtu aliyeumbwa na Mungu. Ni uhai uliotakaswa na Mungu. Kwa hiyo zaburi hii inatuonyesha enzi ya Mungu, na inamkumbusha pia Mkristo kwamba si mkamilifu. Kwa hiyo tunasisitizwa tumwombe Mungu atuonyeshe dhambi zetu, ili atutakase na kutuongoza katika maisha ya utakatifu.

siku 28

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango...

More

Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha