Zaburi 29:1-2
Zaburi 29:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima enyi viumbe vya mbinguni, semeni Mwenyezi-Mungu ni mtukufu na mwenye nguvu. Semeni jina la Mwenyezi-Mungu ni tukufu. Mwabuduni katika mahali pake patakatifu.
Shirikisha
Soma Zaburi 29Zaburi 29:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mpeni BWANA, enyi wana wa Mungu, Mpeni BWANA utukufu na nguvu; Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu.
Shirikisha
Soma Zaburi 29