Methali 12:9-10
Methali 12:9-10 BHN
Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula. Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.
Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula. Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.