Methali 12:27-28
Methali 12:27-28 BHN
Mwindaji mvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa. Uadilifu ni njia ya uhai, lakini uovu huongoza katika mauti.
Mwindaji mvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa. Uadilifu ni njia ya uhai, lakini uovu huongoza katika mauti.