Yeye huyavuta kwake maji ya bahari, na kutoka ukungu hufanya matone ya mvua. Huyafanya mawingu yanyeshe mvua, na kuwatiririshia binadamu kwa wingi. Nani ajuaye jinsi mawingu yatandavyo, au jinsi radi ingurumavyo angani kwake? Yeye huutandaza umeme wake kumzunguka, na kuvifunika vilindi vya bahari. Kwa mvua huwalisha watu na kuwapatia chakula kwa wingi. Huukamata umeme kwa mikono yake, kisha hulenga nao shabaha, Radi hutangaza ujio wake Mungu, hata wanyama hujua kwamba anakuja.
Shirikisha
Soma Yobu 36
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video