Zaburi 77:10-11
Zaburi 77:10-11 SRUV
Nikasema, Ndio udhaifu wangu huo; Lakini nitaikumbuka miaka ya mkono wa kulia wake Aliye Juu. Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.
Nikasema, Ndio udhaifu wangu huo; Lakini nitaikumbuka miaka ya mkono wa kulia wake Aliye Juu. Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.