Biblica, The International Bible Society, inawapa watu Maandiko ya Mwenyezi Mungu kupitia kutafsiri na kuchapisha Maandiko, na mipango ya kushirikisha watu kusoma Maandiko katika Afrika, Asia ya Mashariki na Pasifiki, Ulaya, Amerika ya Kilatini, Mashariki ya Kati, Amerika ya Kaskazini, na Asia ya Kusini. Kupitia mpango wake wa kufikia dunia nzima, Biblica inahusisha watu na Maandiko ya Mwenyezi Mungu ili maisha yao yapate kubadilishwa kupitia uhusiano wao na Isa Al-Masihi.


Biblica, Inc.

NMM ALÁTẸ̀JÁDE

Te si waju lati ko ero sii

Awọn ẹya miiran nipasẹ Biblica, Inc.

YouVersion nlo awọn kuki lati ṣe adani iriri rẹ. Nipa lilo oju opo wẹẹbu wa, o gba lilo awọn kuki wa gẹgẹbi a ti ṣalaye ninu Eto Afihan wa