Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tumaini, Jibidishe, Na Pumzika

Tumaini, Jibidishe, Na Pumzika

4 Siku

Biblia inatuagiza kufanya kazi kwa bidii, lakini pia inatuambia ni Mungu-- siyo sisi --anayetoa matunda ya kazi yetu. Kama mpango huu wa siku nne utakavyoonesha, taaluma ya kikristo lazima ikubali mvutano kati ya “kuamini” na “kujibidisha” ili kupata mapumziko halisi ya Sabato.

Tungependa kumshukuru Jordan Raynor kwa kutoa mpango huu. Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: http://www.jordanraynor.com/trust/
Kuhusu Mchapishaji

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha