Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Miujiza ya YesuMfano

Miujiza ya Yesu

SIKU 3 YA 9

Yesu Amponya Mtu Penye Bwawa La Bethzatha




Yesu anaponya mlemavu, lakini Yesu hataki ajue ni yeye aliyemponya.

Swali 1: Ni kwa kiasi gani unafikiri ulemavu na maradhi husababishwa na dhambi?

Swali 2: Viongozi wa Kiyahudi walipinga kuponya siku ya Sabato. Ni kitu gani kinaweza

kukushawishi wakati unapojihisi huwezi kumsaidia mtu? Kwa nini?

Swali 3: Unafikiri ni sababu zipi zinawafanya watu kutokubali msaada wake Yesu?

Andiko

siku 2siku 4

Kuhusu Mpango huu

Miujiza ya Yesu

Chunguza miujiza ya Yesu, kila mmojawapo ukidhihirisha utambulisho wake kama Mwana wa Mungu. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha