Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Aprili/2022Mfano

Soma Biblia Kila Siku Aprili/2022

SIKU 30 YA 30

Mambo hayo nataka uyanene kwa nguvu, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Hayo ni mazuri, tena yana faida kwa wanadamu. Lakini maswali ya upuzi ujiepushe nayo(m.8-9). Mambo hayo anayotakiwa kunena ni mambo gani?1.Kwamba tumeokolewa na Mungu bila sisi kustahili. Ndivyo upendo na neema yake ilivyo (m.3-5, 7).2.Kwambatumezaliwa kwa pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu(m.5b-6).3. Kwamba tumefanywa warithi wa uzima wa milele (m.7). Tusichoke kunena haya kwa nguvu hata leo!

siku 29

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Aprili/2022

Soma Biblia Kila Siku Aprili/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Aprili pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma k...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabblia.or.tz/

Mipangilio yanayo husiana

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha