Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 4Mfano

Soma Biblia Kila Siku 4

SIKU 1 YA 30

Somo la leo laonyesha ukuu wa Mungu. Hata adui zake lazima wamtumikie! Na siku ya hukumu wote watamsujudia(Flp 2:9-11). Kumtumikia Mungu, kwa adui zake hakutawaletea faida yoyote, bali hukumu tu inawangojea. Katika somo la leo Mungu anasema kwamba alimsimamisha Farao ili amwonyeshe uweza wake, tena ili jina lake litangazwe katika dunia yote (m.16). Tumtumikie Bwana kwa hiari katika imani na upendo na si katika chuki iletayo hukumu.

siku 2

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 4

Soma Biblia Kila Siku 4 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka, na 1 Wathesalonike, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha