Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Soma Biblia Kila Siku 1

SIKU 31 YA 31

Wakati wa Yakobo, idadi ya watu wa familia yake ilikuwa 70 tu. Lakini kutokana na baraka ya Mungu, idadi ya Waisraeli waliotoka Misri ilikuwa mnamo laki siti (Kut 12:37). Muda wa kukaa katika Misri ulikuwa miaka 430 (Kut 12:40). Leo tujifunze mambo mawili: 1. Waisraeli waliishi katika nchi ya kigeni kwa muda mrefu, tena waliteswa na Wamisri. Lakini Mungu hakuwasahau Waisraeli, bali hatimaye aliwakumbuka, akawaokoa. 2. Chuki ya maadui wa Mungu haimzuii Mungu kuwabariki watu wake.

Andiko

siku 30

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha