Zaburi 29:9
Zaburi 29:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Sauti ya Mwenyezi-Mungu huitikisa mivule, hukwanyua majani ya miti msituni, na hekaluni mwake wote wasema: “Utukufu kwa Mungu!”
Shirikisha
Soma Zaburi 29Zaburi 29:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Sauti ya BWANA yawazalisha ayala, Na kuiacha misitu wazi; Na ndani ya hekalu lake Wanasema, Utukufu!
Shirikisha
Soma Zaburi 29