Zaburi 118:15-16
Zaburi 118:15-16 Biblia Habari Njema (BHN)
Sauti za furaha ya ushindi zasikika hemani mwao waadilifu: “Mkono wa Mwenyezi-Mungu umetenda mambo makuu! Mkono wa nguvu wa Mwenyezi-Mungu umeleta ushindi! Mkono wa Mwenyezi-Mungu umetenda mambo makuu!”
Shirikisha
Soma Zaburi 118Zaburi 118:15-16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Sauti ya furaha na wokovu Imo hemani mwao wenye haki; Mkono wa kulia wa BWANA hutenda makuu. Mkono wa kulia wa BWANA umetukuzwa; Mkono wa kulia wa BWANA hutenda makuu.
Shirikisha
Soma Zaburi 118