Zaburi 103:11-12
Zaburi 103:11-12 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama vile anga lilivyo juu mbali na dunia, ndivyo ulivyo mwingi wema wake kwa watu wanaomcha. Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo azitengavyo dhambi zetu mbali nasi.
Shirikisha
Soma Zaburi 103Zaburi 103:11-12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana, kama mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, Ndivyo fadhili zake zilivyo kuu kwa wamchao. Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
Shirikisha
Soma Zaburi 103