Marko 1:14-15
Marko 1:14-15 Biblia Habari Njema (BHN)
Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema, “Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
Shirikisha
Soma Marko 1Marko 1:14-15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hata baada ya Yohana kutiwa gerezani, Yesu akaenda Galilaya, akiihubiri Habari Njema ya Mungu, akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.
Shirikisha
Soma Marko 1