Yeremia 23:33
Yeremia 23:33 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na watu hawa, au nabii au kuhani, atakapokuuliza, akisema, Mzigo wa BWANA ni nini? Ndipo utawaambia, Mzigo gani? BWANA asema, Nitawatupilia mbali.
Shirikisha
Soma Yeremia 23Yeremia 23:33 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu aliniambia: “Mtu yeyote, awe nabii au kuhani, akikuuliza: ‘Uko wapi mzigo anaotubebesha Mwenyezi-Mungu?’ Wewe utawaambia: ‘Nyinyi ndio mzigo kwa Mwenyezi-Mungu naye atawatupa mbali.’
Shirikisha
Soma Yeremia 23