1 Wafalme 6:8
1 Wafalme 6:8 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa upande wa kusini wa Hekalu, ngazi ilielekea ghorofa ya kati na kutokea hapo ilielekea hadi ghorofa ya tatu.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 61 Wafalme 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Mlango wa kuingilia sehemu ya chini ya jengo lililoongezwa ubavuni mwa nyumba, ulikuwa upande wa kusini. Ndani, mlikuwa na ngazi ambayo watu waliweza kupanda ili kwenda ghorofa ya katikati na ya mwisho.
Shirikisha
Soma 1 Wafalme 6