1 Mambo ya Nyakati 24:24-26
1 Mambo ya Nyakati 24:24-26 Biblia Habari Njema (BHN)
Mmoja wa wana wa Uzieli alikuwa Mika. Mmoja wa wazawa wa Mika alikuwa Shamire. Mmoja wa wazawa wa Ishia nduguye Mika alikuwa Zekaria. Wana wa Merari: Mahli, Mushi na Yaazia
1 Mambo ya Nyakati 24:24-26 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri. Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria. Wana wa Merari; Mali na Mushi; wana wa Yaazia; Beno.
1 Mambo ya Nyakati 24:24-26 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Wana wa Uzieli, Mika; wa wana wa Mika, Shamiri. Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria. Wana wa Merari; Mali na Mushi; wana wa Yaazia; Beno.
1 Mambo ya Nyakati 24:24-26 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri. Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria. Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.