Ezekieli 10:12-13
Ezekieli 10:12-13 BHN
Miili ya hao viumbe, migongo yao, mikono na mabawa yao, pamoja na magurudumu, vyote vilijaa macho pande zote. Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”
Miili ya hao viumbe, migongo yao, mikono na mabawa yao, pamoja na magurudumu, vyote vilijaa macho pande zote. Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”