Nilifikiri habari za siku za kale, Miaka ya zamani zilizopita. Nanena na moyo wangu usiku, Nawaza moyoni mwangu, Roho yangu naipeleleza. Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe? Rehema zake zimekoma hata milele? Ahadi yake imekwisha hata vizazi vyote? Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?
Soma Zaburi 77
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 77:5-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video