Nimpazie Mungu sauti yangu, Naam, nimpazie Mungu, naye atanisikia. Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika. Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia. Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike; Nilitaabika nisiweze kunena.
Soma Zaburi 77
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 77:1-4
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video