Umeuvika mwaka taji la wema wako; Mapito yako yadondoza unono. Huyadondokea malisho ya nyikani, Na vilima vimejawa na furaha. Na malisho yamejawa na kondoo, Na mabonde yamepambwa nafaka, Yanashangilia, na kuimba pamoja kwa shangwe.
Soma Zaburi 65
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 65:11-13
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video