Wote wanaonichukia wananong'onezana juu yangu, Wananiwazia yaliyo mabaya zaidi. Wanafikiri pigo liualo limemshika, Akalala asiweze kusimama tena. Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.
Soma Zaburi 41
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 41:7-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video