Ee BWANA, nimeutamani wokovu wako, Na sheria yako ndiyo furaha yangu. Nafsi yangu na iishi, ipate kukusifu, Na hukumu zako zinisaidie. Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.
Soma Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:174-176
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video