Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:163-165

Zaburi 119:163-165 SRUV

Nimeuchukia uongo, umenikirihi, Sheria yako nimeipenda. Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako. Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.

Soma Zaburi 119

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha