Zaburi 119:161-162
Zaburi 119:161-162 SRUV
Wakuu wameniudhi bure, Ila moyo wangu unakaa kwa kicho cha maneno yako. Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.
Wakuu wameniudhi bure, Ila moyo wangu unakaa kwa kicho cha maneno yako. Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.