Zaburi 119:147-149
Zaburi 119:147-149 SRUV
Naamka kabla ya mapambazuko na kukuomba msaada, Naweka tumaini langu katika maneno yako. Nakaa macho usiku kucha, Ili kuitafakari ahadi yako. Kwa fadhili zako uisikie sauti yangu, Ee BWANA, uniokoe.
Naamka kabla ya mapambazuko na kukuomba msaada, Naweka tumaini langu katika maneno yako. Nakaa macho usiku kucha, Ili kuitafakari ahadi yako. Kwa fadhili zako uisikie sauti yangu, Ee BWANA, uniokoe.