Zaburi 119:140-142
Zaburi 119:140-142 SRUV
Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda. Mimi ni mdogo, nadharauliwa, Lakini siyasahau mausia yako. Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.
Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda. Mimi ni mdogo, nadharauliwa, Lakini siyasahau mausia yako. Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.