Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:131-133

Zaburi 119:131-133 SRUV

Nafunua kinywa changu nikihema, Maana nazitamani amri zako. Unigeukie na kunirehemu, Kama ilivyo desturi yako kwa walipendalo jina lako. Uzielekeze hatua zangu kwa neno lako, Uovu usije ukanimiliki.

Soma Zaburi 119

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha