Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:118-120

Zaburi 119:118-120 SRUV

Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni bure. Wabaya wa nchi pia umewaondoa kama takataka, Ndiyo maana nimezipenda shuhuda zako. Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.

Soma Zaburi 119

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha