Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu. Unitegemeze kulingana na ahadi yako, nikaishi, Wala usiniache niyaaibikie matumaini yangu. Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.
Soma Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:115-117
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video