Zaburi 118:19-21
Zaburi 118:19-21 SRUV
Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA. Lango hili ni la BWANA, Wenye haki ndio watakaoliingia. Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.
Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA. Lango hili ni la BWANA, Wenye haki ndio watakaoliingia. Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.