Mithali 12:3-4
Mithali 12:3-4 SRUV
Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe. Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.
Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe. Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.