Mithali 12:21-22
Mithali 12:21-22 SRUV
Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya. Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.
Mwenye haki hatapatikana na msiba wowote; Bali wasio haki watajazwa mabaya. Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.