Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 37:8-11

Ayubu 37:8-11 SRUV

Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao. Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake. Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea; Na uso wa maji huganda punde. Naam, huyatwika mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake

Soma Ayubu 37

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ayubu 37:8-11

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha