Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao. Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake. Kwa pumzi ya Mungu barafu hutokea; Na uso wa maji huganda punde. Naam, huyatwika mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake
Soma Ayubu 37
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Ayubu 37:8-11
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video