Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 23:34-35

Yeremia 23:34-35 SRUV

Na katika habari ya nabii, na kuhani, na watu, watakaosema, Mzigo wa BWANA, mimi nitamwadhibu mtu yule, na nyumba yake. Mtasema hivi kila mtu na jirani yake, na kila mtu na ndugu yake, BWANA amejibu mtu? Na, BWANA amesemaje?

Soma Yeremia 23

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yeremia 23:34-35

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha