Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 40:17-18

Isaya 40:17-18 SRUV

Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili. Basi, mtamlinganisha Mungu na nani? Au mtamfananisha na mfano wa namna gani?

Soma Isaya 40

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Isaya 40:17-18

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha