Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu; huko wamenitenda mambo ya hiana. Gileadi ni mji wa hao watendao maovu, umetiwa rangi ya damu. Na kama vile makundi ya wanyang'anyi wamwoteavyo mtu, ndivyo kundi la makuhani wauavyo katika njia ielekeayo Shekemu; naam, wametenda mambo maovu sana.
Soma Hosea 6
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Hosea 6:7-9
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video