Matendo 23:12-13
Matendo 23:12-13 SRUV
Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo. Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arubaini.
Kulipopambazuka, Wayahudi wakafanya mapatano, wakajifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala hawatakunywa hadi wamwue Paulo. Na hao walioapiana hivyo walikuwa zaidi ya watu arubaini.