Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:73-80

Zab 119:73-80 SUV

Mikono yako ilinifanya ikanitengeneza, Unifahamishe nikajifunze maagizo yako. Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelingojea neno lako. Najua ya kuwa hukumu zako ni za haki, Ee BWANA, na kwa uaminifu umenitesa. Nakuomba, fadhili zako ziwe faraja kwangu, Sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako. Rehema zako zinijie nipate kuishi, Maana sheria yako ni furaha yangu. Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako. Wakuchao na wanirudie, Nao watazijua shuhuda zako. Moyo wangu na uwe mkamilifu katika amri zako, Nisije mimi nikaaibika.

Soma Zab 119

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha