Ee BWANA, nimeungojea wokovu wako, Na maagizo yako nimeyatenda. Nafsi yangu imezishika shuhuda zako, Nami nazipenda mno. Nimeyashika mausia yako na shuhuda zako, Maana njia zangu zote zi mbele zako.
Soma Zab 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zab 119:166-168
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video