Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni uongo. Wabaya wa nchi pia umewaondoa kama takataka, Ndiyo maana nimezipenda shuhuda zako. Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.
Soma Zab 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zab 119:118-120
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video