Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali. Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali. Walinizunguka kama nyuki, Walizimika kama moto wa miibani; Kwa jina la BWANA naliwakatilia mbali.
Soma Zab 118
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zab 118:10-12
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video