Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo. Mizani ya haki, vipimo vya haki, efa ya haki, hini ya haki, ndivyo mtakavyokuwa navyo. Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri. Zishikeni sheria zangu, na hukumu zangu, na kuzitenda. Mimi ndimi BWANA.
Soma Law 19
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Law 19:35-37
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video